MAKAMU WA RAIS: SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA MADHEHEBU YOTE YA DINI

Imeelezwa kuwa, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan inathamini mchango wa Madhehebu ya dini kupitia mahubiri na kufundisha neno la Mungu kwa watu wote.Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 75 ya Kanisa la Elimu Pentekoste Tanzania (KEPT) iliyofanyika